Recent content by Chizimtoto

  1. Chizimtoto

    Nipo hapa mkemia wa dhahabu, Kaham, Geita, Kakola N.K

    》Nitakupa Ushauri jinsi yakuanza/kufanya kazi ya uzaliahaji wa dhahabu katika faida. 》Nita kusimamia shughul zote za uzalishaji (vat leaching) na elution plant mpaka pale product (gold dore) itakapo kuwa tayari kuuzwa. 》Nitakupatia (cost estimation list) gharama zote zitakazo hitajika katika...
  2. Chizimtoto

    Vifaa vya Barber shop full set vinauzwa kwa bei poa kabisa.

    vifaa hivi ni vya kisasa kabisa...
  3. Chizimtoto

    Vifaa vya Barber shop full set vinauzwa kwa bei poa kabisa.

    Pia unaeza Tupata kwa namba hii +255658394857
  4. Chizimtoto

    Vifaa vya Barber shop full set vinauzwa kwa bei poa kabisa.

    Viti viwil vya kunyolea pamoja na kabat zake zenye vioo,machine mbili za kunyolea,sterilizer,kitanda cha massage,beseni la kuoshea, viti viwil vya scrub na meza zake,facial steamer,beseni la kuoshea miguu,A/C, viti vitatu vya watu kusubiria na partition pamoja na mlango wa aluminium NB: vifaa...
  5. Chizimtoto

    Kama una gari hizi mark II gx 100, Chaser ,cresta,corolla 100,111

    Nauza gari Cresta Gx 100 kwa milioni 2.5 lipo katika hali nzuri mno nauza kwakuwa ninashida. Huez pata kirahisi gari kwa bei ya pikipiki, nakuruhusu uje na fundi wako unaemwamini tuweke mafuta tupige misele siku nzima tukila mziki mkubwa, utasibitisha gari ni zur halina shida yeyote. shida n mm...
  6. Chizimtoto

    Toyota Cresta GX100

    Nauza Toyota GX 100 nipo dodoma, kwa 2.7 milion kwakuwa nina shida na hela , gari lipo katika hali nzuri kila kitu kizima. njoo na fundi unae mwamini akuthibitishie maneno yangu. nicheki namba 0756086125 kwa maelezo zaidi.. na picha
  7. Chizimtoto

    SOLD: Dodoma, nauza gari nipate ada M5 Cresta Gx100 kwa sh. 2.7 milioni

    Hakuna namna kaka n bora tuliuze, kwa majaliwaa ya mungu tutapata lingine
  8. Chizimtoto

    SOLD: Dodoma, nauza gari nipate ada M5 Cresta Gx100 kwa sh. 2.7 milioni

    Nawaamkia wanajamii forum. Kama ulikuwa na hamu ya kumiliki gari, nafasi hii apa. sina mengi nipo Dodoma nauza gari langu T 456 BEA, M5 Gx 100 kwa shilingi 2.7 milioni. Gari lipo vizuri, halijawahi kupigwa rangi mpya hiyo n rangi yake ya dukani, Mziki mkubwa.. haina tatzo lolote kila kitu kipo...
Back
Top Bottom