Msaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina, hospital paliponifilisi na mri scan, dawa za asili na kisuuna hadi maombi.
Nakata tamaa sasa
Kwa jinsi wachezaji walivyo wamechoka wengine kama inonga na sakho hawajali utoto mwingi tutarajie aibu super league.
Ingekuwa na uwezekano simba wajitoe au wanachama wa simba waandike barua cairo kuomba hilo.
Wazee wa ten pasenti mbona hamna huruma jamani mnaokoteza tu wachezaji
Alilipwa usd 10k na gulamali,wasaniii wa congo hadi leo wanafanya sana hiyo kitu inaitwa mabanga mpe hela akutaje kwenye nyimbo au dau kubwa atunge nyimbo yako kabisa kama yule dada mbongo jasmine aliyemsaidia msuva vs wydad wanavyomrusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.