Je! Polisi wameruhusu malumbano ya kidini yaendelee? Juzi nilipita pale Manzese sehemu inayoitwa Bakhresa na kuona umati mkubwa wa watu ukisikiliza mhadhara wa kidini uliokuwa unaendeshwa pale.
Napenda kutoa tahadhari kuhusu wizi wa mtandao unaoendelea hapa mjini. Mmiliki wa simu yenye namba. 0658-051817 kwa jina la CHRISOSTOM MWABULANGA simu yake inatumika kwa kazi hiyo na ipo hewani. Kinachafanyika ni kwamba anao uwezo wa kutumia namba ya simu yako kuandika sms kwenda mtu mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.