Jamani yaani hawa Zuberi ni tatizo kama utapotrlewa na mzigo.
Basi mwezi wa kumi si nikatumiwa mzigo toka Dar
Yaani mzigo ulifuatiliwa mwezi mzima na haukupatikana
Boss wao yule zuberi mwenyewe ana kiburi cha kimataifa! Hana ushirikiano kabisaaaa
Nawashauri mnapotumia mabasi ya zuberi kutuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.