Recent content by chikoxalate

  1. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa utaratibu wa kufanya mtihani wa leseni ya Ufamasia

    Habari wana JF, Naomba kwa mwenye ufahamu anisaidie taratibu za kufanya mitihani ya leseni kwa kozi ya famasi pia kama ana mitihani ya nyuma anisaidie[emoji2969]
  2. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Mambo Mengi muda mchache, kijana aende wapi kati ya diploma ya CLINICAL MEDICINE NA PHARMACY

    Sasa mkuu daktari anakuwaje responsible kugawa dawa labda illegal
  3. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Mambo Mengi muda mchache, kijana aende wapi kati ya diploma ya CLINICAL MEDICINE NA PHARMACY

    Acheni kupotosha watu kwenye afya huwa wanategemeana na yaani hospital iwe na daktari tu? Hapana na msichojua katika hospital mtu wa mwisho kuhakiki makosa ya daktari ni mfamasia musichukulie poa
  4. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Waliochaguliwa Mtwara Cohas

    Kiasi tu
  5. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Waliochaguliwa Mtwara Cohas

    Hapo sijajua ila kila chuo huwa kina cut point yake na pia kuna bahati kuna mwingine matokeo yake madogo amepata mwingne amefaulu zaid lakin amekosa
  6. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Waliochaguliwa Mtwara Cohas

    Nafikiri bado hawajatoa maana ata nikiingia hakuna
  7. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Waliochaguliwa Mtwara Cohas

    Habari wana JF kwa wote waliochaguliwa chuo cha Mtwara College Of Health And Allied Science tukutane apa
  8. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Changamoto HESLB

    Apo ndo nilivyoelewa sema shida ni wiki ya pili hii nafanyaje apo?
  9. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Changamoto HESLB

    Nimetuma kama siku10 zilizopita na nikaprint ila wiki iliyopita ikaja hiyo taarifa
  10. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Changamoto HESLB

    Habari za saivi wana JF, Nimekutana na changamoto apa mwanzo niliattach vote card ya mdhamini ila ikajitoa kwa bahati mbaya kwenye system sasa kila nikiingia nakutana na maelezo ya kuweka tena lakini sehemu ya kukiweka (kuattach) sipaoni NAOMBA MSAADA mwenye uelewa apo na simu hawapokei.
  11. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na changamoto kwenye kuprint na ku- submit application HESLB

    Habari wana jf nmekutana na changamoto kwenye kuprint and submit application siku ya nne leo haitaki nifanyaje au tatzo ni nini?
  12. chikoxalate

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa kuhusu hizi hatua wakati wa kuapply mkopo

    Me ninachokiona kama una simu yenye uwezo na camera mzuri unaweza kufanya kwenye simu ukamaliza vizuri tu
Back
Top Bottom