Recent content by Chiefrb21

  1. Chiefrb21

    SoC02 Tuanze na haya kuboresha mfumo wa elimu ya Chuo Kikuu ili tupate Wahandisi wenye tija kwa taifa

    Naombeni kura zenu kwa ajili ya wazo hili lenye mtazamo chanya katika elimu yetu
  2. Chiefrb21

    SoC02 Tuanze na haya kuboresha mfumo wa elimu ya Chuo Kikuu ili tupate Wahandisi wenye tija kwa taifa

    Hakika tuanze na vyuoni mana ndio msingi unaotoa wataalamu wa taaluma mbalimbali hapa nchini
  3. Chiefrb21

    SoC02 Tuanze na haya kuboresha mfumo wa elimu ya Chuo Kikuu ili tupate Wahandisi wenye tija kwa taifa

    Tupo pamoja mkuu mawazo chanya ya elimu yetu yahitajika sana kilio changu nikuona chuoni tunaondokana na mitihan ya kwenye karatasi mana toka chekechea hadi unafika chuoni umeyaandika sana chuoni waweke mkazo kwenye uhalisia wa taaluma hzo kwa vitendo mitihan ya andika au taja maana ya vitu...
  4. Chiefrb21

    SoC02 Tuanze na haya kuboresha mfumo wa elimu ya Chuo Kikuu ili tupate Wahandisi wenye tija kwa taifa

    Kwa mujibu wa tovuti ya tathimini ya idadi ya watu duniani ya mwaka 2022, makadirio ya umri wa ukomo wa kuishi kwa mtanzania ni miaka 66. Kwa mtanzania aliye bahatika kuhitimu shahada yake ya awali akiwa na miaka 23 hadi 24 atakuwa ametumia takribani asilimia 34.85 (miaka 23) hadi asilimia 36.36...
Back
Top Bottom