Recent content by Chief Scout

  1. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    IOGT sio branch ya scout ya Tanzania, faida ziko nyingi lakini yaelekea umeamua kujikita kwenye mbili na lugha za kiskauti Si za JF, zinafundishwa kambini tu. Kama wewe ni skauti unapaswa kujua hilo.
  2. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Sijui kuna uhusiano gani kati ya green guard na ccm, vyote havihusiki na scouts
  3. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    IOGT ni taasisi moja na TSA ni nyingine, sina hakika na utofauti gani unaouulizia. Kama umeamini kuwa hakuna faida zaidi ya kuingia bure 77 kwa nini unauliza? Kama unazijua lugha za kiskauti kwa nini unauliza. Kwa nini unahutaji kujua cheo changu? Imebidi nikutwange maswali kwa sababu umeuliza...
  4. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Ni mtazamo wako na sio lazima uwe sahihi.........
  5. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Hata marais wengi duniani wamepitia skauti! Tunapoendelea kutafiti juu ya uhusiano wa uskauti na urais wa nchi; na wewe endelea kutafiti uhusiano wa uskauti na ugaidi.
  6. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Sakasa ni headmaster wa Lugoba Secondary pia katika chama cha skauti ni kamishna mkuu msaidizi upande wa mafunzo
  7. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Shallow kwa dimension gani? Kila ulicho uliza nimekujibu isipokuwa suala la bajeti. Ukija na swali vague ukategemea kupata jibu detailed wewe utakuwa 'mzuzu' kwa lugha ya kiskauti
  8. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Syllabus ya skauti inaundwa au kubuniwa na skauti wenyewe, kupitia timu ya kiufundi ya kimataifa au kitaifa. Kuhusu tija gani, nikupe mfano mmoja tu rahisi, kwa sasa skauti wako mstari wa mbele jijini Dar wakisaidia na kuokoa watu waliokumbwa na mafuriko. Mengine ni mengi kwani lengo la kwanza...
  9. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Skauti haruhusiwi kumpiga mtu yeyote; kwa sababu yoyote ile. Hao waliompiga mwenzao; ilikuwa ni ugomvi? Iliwapasa walimu katika shule husika kushughulikia suala hilo kwa taratibu za kinidhamu.
  10. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    kwa nini asiweze ndugu bigjoh? Ilimuradi huyo mtu awe chini ya mamlaka ya huyo skauti mwenye kutoa adhabu
  11. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Akina Shabani wengi hujiita master sheby, sasa ungenipa jina kamili ningemtafuta jamaa yako
  12. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Ndugu SPANISH CP Skauti sio chama cha kisiasa kwa hiyo siwezi kujibu swali la uhusiano kati ya skauti na CCM, na wala sijui mtoto wa Kikwete ana cheo gani kwenye Scout Tanzania. Mbunge wa Mafia Mh. Abdulkarim Shah ni Kamishna Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania.
  13. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    ili utimize wajibu wako kwa Mungu, taifa na kuziishi kanuni za skauti ukiwa kioo cha jamii
  14. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Chama kina miradi ya kujiingizia kipato, so hakitegemei misaada tu kama inavyodhaniwa na wengi. Jengo lilinusurika kutokana na madeni ya siku zilizopita, halitaporwa tena kulingana na mikakati iliyopo.
  15. Chief Scout

    Uliza jambo lolote kuhusu uskauti, utapata majibu sahihi hapa

    Kulipwa shilingi ngapi kwa kitu gani? fafanua ndugu Mashaxizo ili niweze kukujibu kwa ufasaha
Back
Top Bottom