Jana nikapost kuhusu watu ambao wamewekeza kwenye BE FORWARD NOW ili kuhakikisha kama kweli wananufaika au lah...!
Kuna raia wamezomea, wengine wakasema dogo utatapeliwa, n.k ila kuna akili ikaniambia kijana wewe ni mwafrika bhana na ili mwafrika aamini mpaka aguse, nikaamua kuwa Thomaso...
Nauza dagaa pia, kutoka Bukoba (Igabiro), napeleka mzigo kasulu-kigoma
Natafuta frem Dar nahitaji kufungua stoo ambayo ntakuwa natoa mzigo Bukoba mpaka Dsm nauza jumla na rejareja pia
Uhakika wa magunia ni 25 sawa na tani 1.5
Kama una koneksheni yoyote
PM au Nicheki 0757487684
Kama unahitaji dagaa wa Bukoba (Safi, Ya Jua Moja bila Mchanga) nicheki, kilo moja kwa tsh 5,000
Napokea oda kuanzia kilo 60 na kuendelea, muda wowote nicheki kwa namba yangu 0624200275
Wadau, mimi ni mjasiriamali mdogo, nipo Bukoba, najihusisha na uuzaji wa dagaa wa Bukoba
Kama mkoa uliopo kuna masoko au unafanya biashara hiyo nijuze au kama unajua mdau anayenunua dagaa vyema kukonekti
Uhakika wa mzigo upo mpaka gunia thelathini
DM tuyajenge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.