Recent content by Chief Kibonde

  1. Chief Kibonde

    Kumchukulia mtu visa au pasport

    Habarini ndugu za leo na wakati huu. Naomba kujua kama kuna mtu mwenye experience na visa. MIMI NILI OMBA VISA MNAMO MWEZI WA 4 TATEHE 5 NA JANA NIMEPOKEA UJUMBE WA EMAIL, KUWA NIKA COLLECT MY PASPORT JE NAWEZA KUAGIZA MTU AKANICHUKULIA? MAANA NIPO NJE YA MJI KWA DHARURA KIDOGO. Asanten
  2. Chief Kibonde

    Nafanikishaje kupata travel insurance certificate, flight reservation, hotel reservation?

    Asante sana kaka kiukweli sikuwa na experience hii naendelea kujifunza na naona kabisa naenda kufaniksha safari yangu
  3. Chief Kibonde

    Nafanikishaje kupata travel insurance certificate, flight reservation, hotel reservation?

    Ohhh sawa mkuu asante sana mkuu maana nimeuliza hivyo coz nilienda ubalozin wakaniambia ni add hivyo vitu so hapa inatakiwa niwasiliane na fly emirate na kule niangalie ni book then wanitumie hiyo doc sio mkuu?
  4. Chief Kibonde

    Nafanikishaje kupata travel insurance certificate, flight reservation, hotel reservation?

    Hello thinkers Salaam wakuu! Nilikiwa naomba mtu mwenye ushauri au ujuzi wa kupata TRAVEL INSURANCE CERTIFICATE, FLIGHT RESERVATION, HOTEL RESERVATION. Hizi ni uambatanisho wakupata viza/Visa ya kusafiria kwa mda. Kama kuna mtu mwenye experience please tujuzane hata kama mtu ataona noma...
  5. Chief Kibonde

    Naomba mtu mwenye ujuzi wa kupata Travel insurance certificate, flight reservation, hotel reservation

    Hello, thinkers Salaam wakuu! Nilikiwa naomba mtu mwenye ushauri au ujuzi wa kupata TRAVEL INSURANCE CERTIFICATE, FLIGHT RESERVATION, HOTEL RESERVATION. Hizi ni uambatanisho wakupata viza/Visa ya kusafiria kwa mda. Kama kuna mtu mwenye experience please tujuzane hata kama mtu ataona noma...
  6. Chief Kibonde

    Kupata visa

    Ni pm mkuu
Back
Top Bottom