Kwa upande wangu namheshimu Sana msigwa na nilikuwa najifunza mengi kutoka kwake.Sikuwa na shaka na kuhama kwake ikiwa lengo lake lilikuwa ni kupata cheo na kutegemea kukipata ndani ya chama Cha mapinduzi.Lakini Kali zake dhidi ya chama ambacho alikitumikia kwa muda mrefu Tena akiwa kama sehemu...
Upon sahihi asilimia 💯 matamko ya kisiasa yanaharibu Sana eimu yetu na wamefeuka kuwa wazazi wakati sisi wazazi ndo tunataka watoto wetu wabaki shuleni kama kukaa nao tutakaa nao Sana wakimaliza.
Suala hili linakela kwakwel I halafu watatokea watu Fulani kuwalazimisha WATUMISHI kununua sale za mwenge dah kama ni hivyo basi bajeti ya mwenge isiwepo wapeleke fedha hizo ikawanunulie dawa bibi zetu huko vijijini.
Ukweli usiopingika wabunge walio wengi wa ccm uwezo wao wa uenga hoja zinazoweza kumsaidia mh Rais katika kutekeleza majukumu take ni mdogo Sana.Hakia wepo wa wabunge wa upinzani ulileta changamoto kubwa kwa seriali andio maana hasta kipindi Cha Mzee jk mambo mengi yaliwezekana kupitia hoja za...
Nakubaliana na we kwa asilimia zote. Huu ni wakati wa kuijenga na usameheana.Kama wao ni kupinga kuvuliwa uanachama basi tukae chini tuondoe tofauti zetu chama kisonge mbele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.