Recent content by chicharito 97

  1. C

    Naomba nifahamu jambo hili kabla sijafungua pharmacy

    naombani ushauri ndugu zangu kuna binti nimekuwa naye kwenye mahusiano miaka 3,nikawajulisha nyumbani wakamkubali na tukapanga tarehe ya kwenda kulipa mahari,lakini cha kushangaza wazazi wamebadilika hawamtaki tena binti kisa dini,kuhusu dini binti alikubali kubadili dini kunifuata familia...
  2. C

    Naomba nifahamu jambo hili kabla sijafungua pharmacy

    Kama hutojali naomba unisaidie namba zako kaka
  3. C

    Naomba kujua Gharama za kumlipa Mfamasia kwa kwezi, Nataka kufungua Famasi

    Kaka samahani naomba unisaidie mawasililiano yako nina kitu cha muhimu sana nataka kuzungumza na ww
  4. C

    Naomba nifahamu jambo hili kabla sijafungua pharmacy

    Ndugu zangu habari,mwezi wa 4 nitafungua pharmacy kwa mtaji wa kama mil 30,kuhusu location am sure nitaipata nzuri hofu yangu kubwa ni kwamba mimi kazi yangu ni ya kusafiri safiri sana. Nilitaka kujua je ninaweza kufungua halafu ni control duka langu kwa kutumia camera ntakazofunga dukani mke...
Back
Top Bottom