Recent content by Chibadya

  1. Chibadya

    Natafuta kazi

    nimesomea Bachelor of Education in science majoring chemistry and biology. Najua kuendesha gari au pkpk ila nilijifunzia mtaani ko lesseni sina.. Nishaaply kwny taasisi tofauti na nilishafanya kazi kwny shule moja... ila nilipatwa na msiba nikatoa taarifa kazn kurud nikawa nimekosa kazi tena...
  2. Chibadya

    Natafuta kazi

    Nimesomea Bachelor of Education in science majoring chemistry and biology. Najua kuendesha gari au pkpk ila nilijifunzia mtaani ko lesseni sina. Nishaaply kwny taasisi tofauti na nilishafanya kazi kwny shule moja.. ila nilipatwa na msiba nikatoa taarifa kazn kurud nikawa nimekosa kazi tena
  3. Chibadya

    Natafuta kazi

    Habari zenu wanajukwaa? Natumaini mko poa sana. NAITW MUSSA NAISHI UKONGA BANANA. ELIMU YANGU NI DEGREE Natafuta kazi wadau iwe ya 1.KUUZA DUKA 2. VIWANDANI 3. kwa makampuni. Au kazi yoyote wadau,, itakayonipatia kipato cha kukidhi mahitaji yng kasoro ya ulinzi tu. NAOMBENI MSAADA WENU NDUGU...
Back
Top Bottom