Natafuta mpenzi awe serious na mimi anipende jinsi nilivyo aniheshimu nami nitampenda na kumueshimu siku zote. Na mwisho tufunge ndoa takatifu.
Sifa za mpenzi wangu:
Umri :30-35
Awe na mapenzi ya dhati kwangu na kwa ndugu zangu.
Dini: mkristo
Kuhusu muonekano sijali point kubwa awe namapenzi...
Wakuu poleni na majukumu ya juma zima, kaka anahitaji ushauri nami ndipo nilioona nishirikiane na wanajamvi.
Huyu ni ndugu yangu anasema alikutana na binti kwenye mtandao mmoja maarufu baada ya kuchat na kutumiana picha akampenda huyo binti kwakuwa anadai hakuwa na kitu chochote chakumuingizia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.