Recent content by Chebe23kid

  1. C

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Jumatatu ijayo hapo,kuna wanangu yupo lazima nikawashuhudie
  2. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Watu wanapenda kuwa na matarajio makubwa sana,ndio maana vilio vinakuwa vingi,mbanga sio wa kuwaamini sana
  3. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Si tumeshakubaliana kozi hadi ramadhani iishe,hahahaha
  4. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Mbona ni hapo tu,kuanzia tar 11 mwezi ujao
  5. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Haina shida mkuu,wao ndio wapangaji
  6. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Lonja za uhamiaji ngumu sana kuzipata zilizonyooka,ndio maana humu ndani papo kimya sana,wengi waliokuwa wanaleta lonja zilizonyooka saivi wapo depo wanakula kozi hasa CCP
  7. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Relax,wataachia pdf katika wakati sahihi kwao
  8. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Saa sita hii inapita bila pdf kuachiwa,sio kila lonja ni za kuchukua
  9. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Hapo kuna mazoezi matatu,kuitwa depo,kudumu depo na kuapa,ila daaah jamaa kafikia kwenye mshahara
  10. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Daaah,muulize mbanga wako aliyekuhakikishia,maana unaonekana unaonekana unajiamini sana hadi kuulizia mshahara
  11. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Hatari sana iyo,ngoja mkeka utoke
  12. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Yeah na mbanga apambane kweli kweli
  13. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Nafikiri ndio ratio yao kila mwaka,japo upande wa zanzibar kwa mwaka jana walichukua 150 hivi
  14. C

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Inawezekana,ngoja tusubiri tuone
Back
Top Bottom