Recent content by Chawa wa taifa

  1. C

    JamiiForums Tanzania DOKEZO PreGE2025 Mbunge wa jimbo la Moshi Mjini agawa sh. 50,000/= na majiko ya gesi kwa wajumbe kiubaguzi huku akiwaomba wampigie kura za maoni

    Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kata za Jimbo la Moshi Mjini wamealikwa na Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Priscus Tarimo katika ukumbi wa CCP uliopo Chuo cha Polisi Moshi leo 19.6.2025 kwa ajili ya kugawiwa majiko ya gesi pamoja na fedha Tsh.50,000/= ambayo aliitoa kwa mafungu mawili ya...
  2. C

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro - Novemba 27, 2024

    Hii taarifa ina makosa mengi... Hai ina kata 17 Siha kata 17 ROmbo kata 28 Same kata 34 Moshi dc inakata 32 Moshi mc kata 21 Mwanga ina kata 24 Pia mkoa una halmashauri 7 na majimbo 9 ya uchaguzi.
  3. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 LGE2024 Mbunge wa CCM Moshi Mjini, Priscus Tarimo aishtaki Bendi ya Polisi kwa tuhuma ya kufanya siasa

    MAPYA YAIBUKA MOSHI, NI BAADA YA MBUNGE KUSHITAKI BENDI YA POLISI Katika hali isiyo ya kawaida, Priscuss Tarimo ambaye ni Mbunge wa jimbo la Moshi Mjini amewashtaki watumbuizaji wa bendi ya Chuo cha Polisi Moshi (CCP) ambayo ilikuwa inatumbuiza kwenye sherehe ya Kumuaga binti wa Tajiri wa Moshi...
Back
Top Bottom