Recent content by Chasaka Mkonongo

  1. C

    We talk of education outputs (results). What about outcomes (employability)?

    Ndugu zangu Naoma tunatumia muda mwingi sana kuzungumzia "kufeli" kwa wanafunzi bila kuangalia huyo "aliyefeli" anachangiaje kuinua uchumi wetu na "aliyefaulu" anauvurugaje. Hebu tafakari kidogo. Mvumbuzi wa computer Bill Gates "alifeli" na kupata disco chuo kikuu. Professor wake...
  2. C

    NECTA yatangaza upya Matokeo ya Kidato cha Nne 2012

    Mimi sijivunii kuona wamafunzi waliofeli wakifaulishwa kwa sababu za kisiasa. Hebu fuatilia mnyororo huu wa namna tunavyoandaa Taifa lisilowajibika kwa kuchukua mfano wa hawa vijana 2002: Walianza darasa la kwanza. Ada ya shule ya msingi ilifutwa: Bahati iliyoje 2005: Wako darasa la nne...
  3. C

    Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

    Haya matokeo mimi siyashangai. Badala yake namshukuru sana Ndalichako maana uzalendo wake umemsukuma kuandika ukweli wa mambo yalivyo. Miaka ya nyuma alikuwa akiongeza mkasi na kufanya wanafunzi waonekane wamefaulu na ndio maana iliwezekana: - 1) hata wengine kuingia form one bila kujua kusoma...
Back
Top Bottom