Katika maduka mengi niliwahi kupitia hua wana kiwango chao cha mwanzo (MOQ), ndio nimeuliza huenda na wauzaji wa hio pia wana kiwango maalumu. Hio moq ndio itakayonifanya kujua nijiandae na mzigo wa kiasi gani
Wana JF habarini za mda huu?
Nimepitia uzi nyingi kuhusu kakao au kokoa lakini bado sijafanikisha kupata majibu ya mwaswali haya:
Naomba kusaidiwa kujua bei ya jumla ya kokoa kavu ya Tanzania? . Mkoa gani nitaipata? Na kuanzia kilo ngapi?
Kama una namba za simu za mkulima au muuzaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.