Recent content by Charminita

  1. C

    Cacao/cocoa ya Tanzania

    Katika maduka mengi niliwahi kupitia hua wana kiwango chao cha mwanzo (MOQ), ndio nimeuliza huenda na wauzaji wa hio pia wana kiwango maalumu. Hio moq ndio itakayonifanya kujua nijiandae na mzigo wa kiasi gani
  2. C

    Cacao/cocoa ya Tanzania

    Nina uhakika sio zote, ila nyingi nimezipitia. Asante kwa muongozo
  3. C

    Cacao/cocoa ya Tanzania

    Asanteni kwa michango yenu.
  4. C

    Cacao/cocoa ya Tanzania

    Wana JF habarini za mda huu? Nimepitia uzi nyingi kuhusu kakao au kokoa lakini bado sijafanikisha kupata majibu ya mwaswali haya: Naomba kusaidiwa kujua bei ya jumla ya kokoa kavu ya Tanzania? . Mkoa gani nitaipata? Na kuanzia kilo ngapi? Kama una namba za simu za mkulima au muuzaji wa...
Back
Top Bottom