Recent content by CHARLZ MMOJA

  1. C

    USINGIZI kupita kiasi

    jamani naombeni msaada wenu, nimekuwa nikilala kupita kiasi mpaka nahisi ni ugonjwa. kwa mfano jumapili nililala toka saa nne asubuhi nikawa naamka kula kisha narudi kulala siku nzima mpaka nikaja kuamka jumatatu saa kumi na mbili asubuhi. kwenye lecture nasinzia, kwenye daladala nasinzia...
  2. C

    SHAMBA LINAUZWA maeneo ya MBANDE

    shamba lenye ukubwa wa ekari moja linauzwa maeneo ya Mbande, bei ni sh milioni tisa (9). kama upo tayari piga simu: 0759500893
  3. C

    msaada wa haraka: ku-print conversation

    kuna kipindi nilishawahi kusikia kuwa ukimpata mtu anayefanya kazi kwenye mitandao ya simu aliyepo kwenye kitengo ku-operate sim unaweza ukapewa sms zote ambazo mtu anawasiliana na mtu mwingine yan unachotakiwa kufanya ni kumpa huyo namba ya simu ya mtu wa kwanza (mke wako) na ya namba ya sim ya...
  4. C

    Nauza iPhone 4s

    iPhone 4s mpya kabisa ipo kwenye box lake haijawahi kutumika ninaiuza laki tisa, ni original. Nimetumiwa kutoka UK. Kama upo tayari ni pm number yako ya simu kisha nakupigia mara moja au tumia kp21p@hotmail.com
  5. C

    Kama una LAKI TISA huu ndo wakati wako

    iPhone 4s original inauzwa, mpya kabisa ipo kwny box lake. Bei ni laki tisa haipungui kwakuwa ni sim ya uhakika. Kama upo tayari ni-pm number yako kisha nakupigia mara moja. Napatikana chuo kikuu cha dar es salaam
Back
Top Bottom