Mbunge wa Urambo Magharibi Mh.Kapuya amsifu Mbunge wa Mtama Mh.Membe kwa kupingana na matumizi ya pesa katika kutafuta uongozi.Mh.Kapuya aliyasema maneno hayo baada ya kauli ya Mh.Membe aliyoitoa jana alipotoka kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Ccm.Alisema,namnukuu,"Mh.Membe kaongea...
Asasi isiyo ya kiserikali iitwayo Tanzania Network For Good Governance And Human Rights yenye makao yake makuu jijini Dar es salaam imeratibu tunzo ya kumpatia Mbunge Bora wa Bunge la awamu ya nne.Tunzo hii imeandaliwa na asasi hii ambayo imeshirikiana na asasi nyingine zisizo za kiserikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.