Fuatilia michango yake bungeni na maswali yake yote. Huyo sio Mbunge wa kukaa tu kimya Bungeni. Waulize watu wa Kagera watakuambia.Lakini pia unaweza tu kufatilia kupitia Mitandao ya kijamii mchango wake Bungeni
KAGERA MPOOO!!
Baada ya Shughuli za Bunge kuahirishwa,sasa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa Kagera Mhe. Oliver D. Semuguruka (Twiga), anakuja kufanya Ziara katika Wilaya zote za Mkoa Kagera.
“ Kiongozi bora ni yule aliye karibu na anaowaongoza.” Ni Imani yangu kuwa kila mmoja ni shuhuda wa namna...
KAGERA MPOOO!!
Baada ya Shughuli za Bunge kuahirishwa,sasa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa Kagera Mhe. Oliver D. Semuguruka (Twiga) anakuja kufanya Ziara katika Wilaya zote za Mkoa Kagera.
“ Kiongozi bora ni yule aliye karibu na anaowaongoza.” Ni Imani yangu kuwa kila mmoja ni shuhuda wa namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.