Recent content by charlie baka

  1. charlie baka

    Kupungua Mizigo Bandarini: Je, Kuna Uwezekano Waziri Mkuu amelidanganya Bunge?, Kadanganywa Au ?!.

    Tatizo watanzania wanawaamini sana viongozi wao kwa kila jambo, hao sio malaika kama hawasemi uongo!
  2. charlie baka

    Wauza smartphone tukutane hapa

    IPhone 6+ mpya utatoa bei gani?
  3. charlie baka

    Polisi yaingilia kati zomea zomea ya waliovaa nguo za kijani na njano!

    Wanachama wa CUF Zanzibar walizomewa na kutukanwa hadharani tangu 1995 hakutokea mkuu yoyote wa jeshi la polisi alokemea hilo. Hii yaonesha dhahiri jeshi hili la polisi linatumikia CCM. Kwa hali hii nchi mtaipeleka pabaya ikiwa kuna kundi fulani lina haki na jengine halina. Angalieni kwa makini...
  4. charlie baka

    Bedford inahitajika

    Toa namba zako urushiwe picha kwa whatssap
  5. charlie baka

    Julius K. Nyerere: Ikulu ni pahali patakatifu, sio pango la wanyang'anyi

    Kama Ikulu pahara kunanuka mavi basi
Back
Top Bottom