Ngoja tuwape kitu kingine ambacho ni cha mwisho kwa upande wa sekta ya elimu, tangu MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI [1964] ~ TANZANIA haijawahi kupeleka raia wake ambaye ni miongoni mwa WANAFUNZI KUMI [10] BORA kitaifa katika mataifa ya magharibi kwa ajili ya ufadhili wa kimasomo...
Kuna kesi iliwahi kutokea mwaka 2000 katika MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA NNE, mwanafunzi bora [TO's] pamoja na mwanafunzi aliyeshika nafasi ya pili wote walikuwa ni wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI [NINDO actually].
Pia mwanafunzi aliyeshika nafasi ya tatu kitaifa alikuwa ni...
Alumni wa SHULE YA AZIMIO wengi walihamia RWANDA baada ya mwaka 1994 na idadi kubwa ya wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI [NINDO actually] ndiyo wanapoishi kwa sasa.
Sheria nyingine ya UMOJA WA MATAIFA [INTERNATIONAL LAWS] kwa upande wa elimu ambayo huwa haisemwi mara nyingi huwa ni "MWANAFUNZI BORA [TO's] pamoja na MWANAFUNZI KINARA [OP's] huwa anatakiwa kupata DIVISION ONE au DIVISION TWO katika mitihani itakayofuatia. Lakini ikitokea amepata DIVISION...
Ndiyo na familia yao ilikuwa upande wa HAYATI MWALIMU na waliamua kuachana na wale waliokuwa viongozi wastaafu wa majeshi ya MAGEREZA, ZIMAMOTO na kidogo POLISI, 1975!
Wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI [NINDO actually] ndiyo waliokuwa watanzania wa kwanza kucheza soka la...
Wapo diaspora wa kitanzania waliojiongeza na walifanikiwa, lakini wengine wamerudi mikono mitupu unajua mataifa ya watu weupe huwa ni ngumu sana kufanikiwa.. 😍
Lakini wengine bado wapo na wanaendelea na kazi za kusimamia na kukagua miradi ya serikali kupitia ofisi za kibalozi nje ya nchi...
Hiyo shule ya msingi ya AZIMIO kulikuwa kuna kila dalili ya kuvuja kwa mitihani au kupewa majibu ya mtihani siku ya mtihani wa taifa.
Maana tangu imeanza kigezo cha mitihani ya moko kama kigezo cha mtihani wa taifa, hiyo shule haijawahi kutoa mwanafunzi bora wala mwanafunzi kinara kitaifa...
Hata wazazi wa SOL CAMPBELL na ASHLEY COLE ni alumni wa AZIMIO, kasoro THIERRY HENRY anayeoneka katika picha ambaye mzazi wake alikuwa ni alumni wa MAPINDUZI ambaye baadae alikuja kuwa CGF.
Alumni wa SHULE YA AZIMIO wapo wengi na ilishawahi kutoa MARAIS pamoja na MAWAZIRI WAKUU kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA! MAJENERALI WA KIJESHI ndani na nje ya nchi.
Hata YOHANA MADAKI alikuwa ni alumni wa SHULE YA AZIMIO na alifanya vizuri sana akiwa GAVANA WA JIMBO LA OLD GONGOLA, 1985...
Hata ile DIGITAL SATELLITE TELEVISION [DSTV] pamoja na SUPERSPORT inamilikiwa na serikali tangu utawala wa MZEE RUKSA na wafanyakazi wengi ni wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI [NINDO actually].
https://youtu.be/MeqMrchPn0Q?si=uqR_UnTPpIBRPnzQ
WASWAHILI huwa wanasema "ukitaka...
Huwa wanatia najisi kwenye ardhi ya nchi, lakini inategemea na idadi yao. WANAFUNZI BORA [TO's] pamoja na WANAFUNZI VINARA [OP's] huwa hawaruhusiwi kuwa na mafungamano na WAHANGA WA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE [CIVIL WAR VICTIMS].
Hata kuchangamana na walevi wa pombe kupita kiasi huwa...
https://youtu.be/pVp-px65gwM?si=Is_-8K5WimxBQbUb
TANZANIA yenyewe ndiyo ilikuwa inataka kuwafanya wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI [NINDO actually] kuwa kama WAHUTU.
Lakini wao wenyewe hawana hela za kuwatosha na wameshindwa kwenda na wakati kulingana na mabadiliko ya nchi...
TANZANIA imejitahidi sana kuwekeza kwenye viwanda na fani nzuri ya kusoma baada ya kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA ni METALLURGY & MINERAL PROCESSING ENGINEERING au CHEMICAL PROCESSING ENGINEERING kutokana na idadi ya viwanda vya uchakataji kuwa ni vingi.
Sema kwa kipindi kirefu...
Sijui! Lakini HAYATI MWALIMU kipindi anang'atuka madarakani aliacha TANZANIA ikiwa nafasi ya tano [5] kiuchumi kwa upande wa BARA LA AFRIKA na kilichofanyika baada ya hapo ilikuwa ni kuhamisha nusu ya hazina ya taifa na kwenda kuwekeza nje ya nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.