Recent content by Charles Mandela

  1. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Unajua kuna tofauti kubwa baina ya "MATAIFA YA FRANCOPHONE" na "MATAIFA YA COMMON WEALTH". "MATAIFA YA FRANCOPHONE" tangu kipindi cha UKOLONI, wananchi wao waliaminishwa na WAKOLONI ambao ni UFARANSA, kuwa maisha yanaanza baada ya kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA. Yaani baada ya...
  2. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Hadi EDDIE MURPHY ni mwenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] aliyehamia nchini MAREKANI kipindi cha miaka ya sitini [1960's]. https://youtu.be/ZDme5Y5E-bI?si=wO_ZVlcNyrzAPxPE EDDIE MURPHY aliigiza FILAMU maarufu iliyokuwa inaitwa COMING TO AMERICA [1988]...
  3. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Hivi huwa mnawachukuliaje WAKONGOMANI? Kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI NA KATI, TAIFA LA KONGO ndiyo TAIFA linaloongoza kuwa DIASPORA wengi kuliko MATAIFA mengine. https://youtu.be/aCcuzqRRTHQ?si=h3dzy7CcU6oql-1q Sikiliza kwanza nyimbo ya "P SQUARE" halafu baadae usikilize nyimbo ya "DAVIDO"...
  4. Charles Mandela

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Naona Dkt. Gwajima D ameamua kushusha nondo za ustawi wa jamii. #2025 imekaribia, yaani ni balaa tupu 😂
  5. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    MOBUTU SESE SEKO kabla ya kubadilisha majina yake ya kuzaliwa, alikuwa anaitwa JEAN PIERRE LANGELLIER MOBUTU. Pia watoto wenye asili ya MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliokuwa wakizaliwa kipindi cha UTAWALA WA MOBUTU walikuwa wanaitwa JEAN PIERRE au PIERRE JEAN na...
  6. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Wewe jamaa! Kuanzia leo unatakiwa kufahamu kuwa, MTU yoyote akiwa RAIS WA SERIKALI YA TAIFA fulani hata kwa wiki moja - huyo anakuwa siyo RAIA WA KAWAIDA tena. Sasa MOBUTU SESE SEKO amekuwa KIONGOZI WA KITAIFA kwa upande wa TAIFA LA ZAIRE tangu miaka ya sitini [1960's] hadi miaka ya tisini...
  7. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    MOBUTU SESE SEKO! Unajua huyu aliyekuwa RAIS WA ZAIRE kabla ya kubadilisha majina yake, alikuwa anaitwa JEAN PIERRE LANGELLIER MOBUTU na kwa LUGHA YA KIINGEREZA alikuwa anaitwa JOHN PETER.
  8. Charles Mandela

    Rainford Kalaba hajafariki Kama ilivyoripotiwa Bali yupo Mahututi madaktari wanapambania uhai wake

    Kama dereva alikuwa ni jinsia ya kike, basi!! Huwa hawapo makini wanapokuwa barabarani.
  9. Charles Mandela

    Rainford Kalaba hajafariki Kama ilivyoripotiwa Bali yupo Mahututi madaktari wanapambania uhai wake

    Ina maana hiyo gari ilikuwa spidi sana, hadi kupelekea abiria waliokuwa ndani kupata madhara.
  10. Charles Mandela

    Rainford Kalaba hajafariki Kama ilivyoripotiwa Bali yupo Mahututi madaktari wanapambania uhai wake

    Aisee! Haya magari tuendeshe tu, lakini spidi sio nzuri. Angalia gari ilivyoharibika hapo, sijui watakuwa kwenye hali gani? Halafu walipata ajali na gari ya KAMPUNI YA MERU. Hmm.. 🤔
  11. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    I don't know why DRC is unsettled? Let them ask themselves, hopefully they have all answers to every questions concerning their beautiful country. Hivi unawafahamu wamiliki halali wa kampuni inayoitwa SUNDAR. Hii kampuni ni maarufu sana kwa kutengeneza vifaa vya kielektroniki na soko lake...
  12. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    WAINGEREZA huwa wana SWALI maarufu sana kwa upande wa "FRANCOPHONE COUNTRIES". Swali hilo huwa wanauliza hivi ~ "CIVIL WAR is a CURSE or BLESSING? Discuss" na kwa LUGHA YA KISWAHILI FASAHA huwa wanauliza hivi ~ "VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE ni LAANA au BARAKA? Jadili"...
  13. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Hiyo FALSAFA YA FAMILIA huwa ipo kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA na huwa wanapenda kueleza kama kiini cha mabadiliko katika TAIFA..😁 Huwa wanasema hivi - FAMILIA ni muunganiko wa ndugu zaidi ya mmoja ["a group of people who are blood closely related to each other"]/ FAMILIA ni ngazi ya...
  14. Charles Mandela

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Ukijaribu kuangalia MATAIFA YA KIAFRIKA ambayo ni "COMMON WEALTH COUNTRIES" na "FRANCOPHONE COUNTRIES" - utagundua kuwa "COMMON WEALTH COUNTRIES" ni MATAIFA yaliyotawaliwa na UINGEREZA na "FRANCOPHONE COUNTRIES" ni MATAIFA yaliyotawaliwa na UFARANSA. "FRANCOPHONE COUNTRIES" kwa upande wa BARA...
Back
Top Bottom