Recent content by Charles Mandela

  1. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Kitu kingine ambacho huwa hawasemi mara nyingi, mwanafunzi bora aliyefanikiwa kuongoza mara tatu [3] huwa anapewa ruhusa ya kutumia karamu ya wino mwekundu katika matumizi ya ofisi endapo atakuwa amekabidhiwa sare za jeshi [OPU]. Hii hadhi ya kutumia karamu ya wino mwekundu huwa inaenda...
  2. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Unajua serikali ilikuwa inakosea pakubwa sana! Ijapokuwa wengine huwa wanasema serikali huwa haikosei lakini kwa hili suala la kuwapa vyeo askari wasiostahili halafu hawapewi matunzo inakuwa inaleta taswira mbaya. Hata kama ni makubaliano ya mwaka 1975, sasa hivi yatakuwa yamepitwa na wakati...
  3. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Pia mwanafunzi aliyefanikiwa kuongoza mara tatu [3] katika MITIHANI YA TAIFA, huwa anatambulika kitaifa kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] pasipo hata kuvalishwa vyeo vya kijeshi. Hii pia huwa ni sheria ya JUMUIYA YA UMOJA WA MATAIFA [UN CHARTER] kupitia SHIRIKA LA ELIMU DUNIANI...
  4. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Mfano wa Local Government Authorities ni [New 494 Vacancies PSRS At Various Institutions, July 2026]! Mfano wa Commercial Enterprises ni [New Vacancies At Yas Tanzania, July 2026] na mfano wa Government ni [New 160 Vacancies At MDA's and LGA's, July 2026]! Sema inatakiwa mhusika anapofanikiwa...
  5. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    TANZANIA inamiliki kampuni nyingi, hata HALLIBURTON ni kampuni inayomilikiwa na TANZANIA. Sema kupitia ule utaratibu wa "COMMERCIAL ENTERPRISES" watanzania wanaoajiriwa ni wale wanaotambulika na serikali tu. Wengine itawalazimu kutafuta na kupata ajira katika ofisi za serikali za mitaa pamoja...
  6. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Walikuwa wanakosea sana! Walikuwa hawaajiriwi, kwa sababu ukiwa TANZANIA inaonekana wameshaaga dunia na cheti cha kifo kinakuwa kimeshatoka. Hivyo hakuna mtu mwingine mwenye wasifu kama huo duniani. Kule walipokuwa wanahamia katika mataifa ya magharibi walikuta wameshaendelea na kupiga hatua...
  7. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    https://youtu.be/z5FBq6Wr2lw?si=a0XlKDDLJr6NFyO8 WANAFUNZI TANO [5] BORA huwa hawaruhusiwi kujihusisha na yale makundi matano yenye ushawishi katika jamii kwa sababu wanakuwa na sifa ya kuwa JENERALI WA JESHI kwa siku za mbeleni. Ikitokea mhusika amejichanganya na moja ya makundi yenye...
  8. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Wenzenu walikuwa wanapambana na kupigana kwa bidii ili kutambulika serikalini na walikuwa wanafanya hivyo kupitia matokeo ya mitihani ya taifa kwa upande wa elimu ya msingi na elimu ya sekondari. Kwa upande wa serikali huwa kuna aina tatu za fursa za ajira zinazopatikana serikalini; Fursa ya...
  9. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    SHINYANGA MJINI wamenyooka sana! Lakini SHINYANGA VIJIJINI [NINDO actually] pamoja na SHINYANGA VIJIJINI [TINDE actually] walifanikiwa kuwa na MAFARAKANO baina yao baada ya kuanza tabia ya kuwa kama WAHUTU ~ kuzaa na kusambaza watoto wao. Baadae wenyeji wa asili wa WILAYA WA KISHAPU waliwaiga...
  10. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    SHINYANGA VIJIJINI [NINDO actually] pamoja na SHINYANGA VIJIJINI [TINDE actually] ni wazuri sana, kwa sasa hivi wameenea maeneo ya MKOA WA TABORA pamoja na KILIMANJARO, WILAYA YA MOSHI VIJIJINI.
  11. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA MJINI ndiyo waliokuwa wanasoma katika shule zote za hapo mjini, wengine walikuwa wanafanya kuhamia. Hata shule ya msingi ya BUGOYI, tunaambiwa ilikuwa inachukua wanafunzi kutoka kijiji cha SEKE lakini wanafunzi wengi walikuwa ni wenyeji wa asili wa WILAYA...
  12. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Huwa wanasema kupitia sheria za UMOJA WA MATAIFA [INTERNATIONAL LAWS], umri sahihi wa kujiunga na mafunzo ya kijeshi huwa ni kuanzia miaka kumi na nane [18] na miaka ishirini [20] inakuwa tayari kwa raia kuweza kuajiriwa na kusajiliwa kama askari kwa upande wa MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA...
  13. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Hiyo ndiyo TANZANIA kwa ufupi, wengine walikuwa wanawadanganya kwa kuwaambia uongo.
  14. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Hawa askari wanaojiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kwa kipindi hiki wanakuwa wanafahamu kila kitu na wengine wanajiunga na MAJESHI wakiwa na zawadi zao. Kumiliki nyumba mbili maeneo ya OYSTERBAY, siyo jambo dogo bila ya kusahau gari mbili aina ya TOYOTA LANDCRUISER pamoja na zawadi ya...
  15. Charles Mandela

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Wao walikuwa wanasema "akiondoka paka, panya huendelea kutawala" ~ baada ya wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA MJINI kuhamia ZAMBIA, waliwaachia wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU [BUBIKI actually] katika masuala yote ya kitaaluma. Wamejitahidi kusambaa sehemu mbalimbali duniani na...
Back
Top Bottom