Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI [NINDO actually] waliamua kuiga na kuakisi utamaduni na mtindo wa maisha ya kihutu, ndiyo maana wanarudi nyuma kila siku tofauti na wenzao ambao ni wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI [TINDE actually]...
TANZANIA imeshafanikiwa kutoa wanafunzi bora aliyefanikiwa kuongoza mara tatu [3] kitaifa, 2010. Mwanafunzi akishafanikiwa kuongoza mara tatu [3] kitaifa huwa anatambulika kitaifa kupitia sekta ya elimu na anaanza kupewa pesa za matunzo kila mwezi kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA]...
Unajua jamii ikiwa inafanya GENOCIDE, iwe ni ACADEMIC GENOCIDE au MASS GENOCIDE huwa kuna mambo mengine mabaya hufanyika nyuma yake!
Ndiyo maana huwa inashauriwa kwa jamii inayofanya ACADEMIC GENOCIDE, wanafunzi waliofanikiwa kuingia TANO [5] BORA kitaifa kuepuka shughuli zisizokuwa za...
Hata JAMAIKA ipo chini ya JESHI LA ULINZI! Sema inatakiwa itolewe elimu ya kijeshi kwa askari wote waliopataa wasaa wa kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA ili kufahamu taratibu na hali nzima inakuaje kabla ya kuhamia ng'ambo.
JESHI LA MAGEREZA huwa linajumuisha askari waliofanikiwa kuingia TANO [5] BORA katika MITIHANI YA MOKO KATA, MOKO WILAYA, MOKO MKOA na MOKO KANDA kwa upande wa SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI.
Hao ndiyo wanaoruhusiwa kisheria kufanya na kusimamia shughuli za urakibu ndani ya...
Unajua zile sheria za UMOJA WA MATAIFA [INTERNATIONAL LAWS] walikuwa hawazifuati kabisa wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI.
https://youtu.be/FxdAGFAECz0?si=ZL5Lk6zEA4baHfDu
Lakini raia wanaotambulika ndiyo wanatakiwa kuwa diaspora na kufanya kazi katika kampuni za kibiashara...
FIELD MARSHALLS huwa wanalipwa mishahara mikubwa kuliko RAIS WA NCHI na ikitokea taifa limefanikiwa kupata FIELD MARSHALL, huyo ndiyo anakuwa raia namba moja na raia namba mbili anakuwa RAIS WA NCHI.
FIELD MARSHALL huwa analipwa mishahara mingi, ikiwemo TUME YA MAADILI YA TAIFA kutokana na...
Sasa hivi sheria za UMOJA WA MATAIFA [INTERNATIONAL LAWS] zimeongeza ile idadi ya wanafunzi wenye sifa na vigezo vya kuweza kuongoza na kuwa askari wa JESHI LA MAGEREZA kutoka ile idadi ya wanafunzi watano [5] bora iliyokuwa awali hadi wanafunzi sita [6] bora.
Wameongeza hiyo idadi hadi...
Ukiachana na nafasi za upendeleo ambazo FIELD MARSHALL huwa anapata kutoka serikalini kama kuuziwa vitu vya thamani, magari na nyumba za serikali, kitu kingine ambacho huwa hawasemi ~ FIELD MARSHALL huwa ana ofisi yake binafsi katika ofisi za ikulu.
Pia FIELD MARSHALL huwa anapata nafasi ya...
Sasa hivi WATANZANIA wengi wamekwisha amka na wameshatambua kwa mapana na marefu mambo yaliyokuwa yanafanyika kwa wakati uliopita!
Ikitokea raia amefanikiwa kutambulika serikalini au askari amefikia cheo cha kijeshi kitakachomuwezesha kutambulika serikalini, huwa kuna jina la kidiplomasia...
Mambo yapo mengi sana! TANZANIA imepitia mambo mengi na vizazi vya wanasiasa wengi kipindi cha utawala wa HAYATI MWALIMU vilifanikiwa kusambaa ndani na nje ya nchi.
Wapo wakina TIARA CHESMER WILLIAMS ambao ni kizazi cha BIBI TITI MOHAMMED! Watoto na wajukuu wengi wanaishi nchini MAREKANI...
Ndiyo TANZANIA ilivyo! Hawa watanzania waliofanikiwa kuhamia mataifa mengine na kufanikiwa kuwa viongozi, wanaifahamu sana SIASA YA TANZANIA.
Pia huwa kuna mahusiano ya moja kwa moja baina ya MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA pamoja na VYAMA VYA SIASA! Mara nyingi wanaongoza VYAMA VYA SIASA huwa...
Mambo yapo mengi ambayo yangeliweza kujadiliwa kwa mapana na marefu, lakini HAYATI MWALIMU alikuwa ni kiongozi mzuri na mbeba maono kwa taifa lake.
Ijapokuwa uzito na mchango wake kwa TAIFA LA TANZANIA ulianza kupungua kuanzia mwaka 1975 hadi leo, kutokana na uwepo wa viongozi wengine wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.