Recent content by Change Maker

  1. Change Maker

    GE2020 Morogoro: Mgombea ubunge wa CHADEMA Bi Devotha Minja awatoroka Polisi waliotaka kumkamata, gari lake lakamatwa

    Huu mni upuuzi tuuu. Devota Minja sio wa kupambania nafasi ya Ubunge VS Abood. Wakati mwingine watu watafakari sio kukurupuka. Shame on her!!! Naanza kuamini juu ya kupata kitu kidogoooo!!! Ubaki salama dada!!!
  2. Change Maker

    Wakili Robert Amsterdam ni nani?

    Jmc06 Kwanza kabisa, kama wewe ni great thinker, unatakiwa usikurupuke kuandika kabla ya kujiridhisha na andiko husika. Kumbuka kuwa TL ni Makamu Mwenyekiti wa CDM. Hivyo atabaki kuwa kiongozi kwa nafasi hiyo hata akikosa Urais. Nadhani ni busara kuangalia maendeleo ya Teknolojia yalivyo na...
  3. Change Maker

    Mipango miovu ya Tundu Lissu yabainika. Soma barua ya inayofichua mipango hiyo

    Kuna Mambo kadhaa ya kuangalia na kujiuliza juu ya andiko hili. Moja, Hakuna Taasisi hiyo duniani; ila ipo Network inayohusu mambo hayo. Pili, lugha iliyotumika katika barua hiyo haiakisi maudhui yaliyomo; ni lugha ya kijana wa Form Three anayeshiriki debate tuu na sio vinginevyo. Tatu, Maudhui...
  4. Change Maker

    Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas. Je, PhD yako ni ya kuwapatanisha tu akina Mbasha na Mchomvu na siyo Rais na Wapinzani Nchini?

    Kilichonisikitisha zaidi ni kwamba, Dr. Abbas si mtaalamu wa kusuluhisha migogoro. Kwa kifupi hajui, na badala yake ametumia nguvu zaidi ya busara. Haiwezekani unamwambia mhanga kuwa "sisi tunataka msameheane" au "Hapa uko Mubashara na kinachotakiwa ni kuombana msamaha tuu" bila ya kuchimbua...
Back
Top Bottom