tena wewe na wenzako pigeni magoti chini, tafakarini, ikibidi rdudieni mitihani upyaaaa, hapo ndipo utaweza kuongea kwa majigambo lakini kwa usaniii huuuuu, fumba mdomo na endelea na uchakachuaji huo, tunaomba Mungu usisomee fani muhimu kwani unaweza kuleta madhara badala ya kufanya upasuaji wa...
Bora ungenyamaza ndugu yangu, je wewe unahisi kuwa umefaulu kwa haki na kwa juhudi zako binafsi? matokeo yako halisi ni yale ya kwanza haya maengine ni msaada wa viini macho tu, hivyo wewe ni kilaza na usithubhutu kusema wengine wamefeli hususani wale waliokua wanasoma sana. Unabahati Taifa...
Ndugu yangu, usiumeize kichwa chako wakati majibu yalishatolewa na Mwl. Nyerere juu ya Serikali regerege. Hakuna uwajibikaji hivyo kila mtu anafanya mabo yake kadri anavyotaka. Amani ya Tanzania tunaichezea ila ipo siku itatigharimu sana. Tipige moyo konde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.