Nataka kujua kwanini mtoto wa mwisho anakuwa tofauti na wakubwa zake?
Ni kwamba katika familia mtoto wa mwisho akiwa hamnazo basi ujue wakubwa zake vichwa sana,na ikitokea mtoto wa mwisho akawa kichwa sana basi wakubwa zake watakuwa vichwa maji,sio kwamba kila kitinda mimba amebarikiwa
Hawa ndugu zetu sijui wakoje,akiwa wa hovyo anakuwa wa hovyo isivyo kawaida na akiwa kichwa anakuwa kichwa kweli,yaani wanakuwa tofauti sana mpaka mnaweza kuhisi hamkuzaliwa baba mmoja mama alichepuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.