Habari,
Naomba kuwasilisha kero yangu kuhusu barabara ya kutoka Mpanda Mjini kwenda Kijiji cha Itenka katika Wilaya ya Mpanda, Mkoa wa Katavi.
Barabara hii imeharibika sana na haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Imejaa mashimo makubwa, na katika baadhi ya maeneo badala ya kuzibwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.