Recent content by chance chande

  1. C

    Inaposhindikana njia ya amani kudai katiba bora ni kukaribisha njia ya force kuidai

    wananchi tumekuwa nguruwe wanasiasa wamekuwa wachungaji nasikitika hivi kwa nini nilizaliwa tanzania ni bora hata ningekuwa kwa kagame maana hata udikteta wake ktk maendeleo unaonekana tofauti na huku imekuwa kama shamba la bibi
  2. C

    Tanzia: Mkuu wa Mkoa wa Mara aanguka ghafla na kufariki dunia!

    nadhani kole sembeka na magamba wamejifunza kitu hujuma na michezo michafu ni mapito ya dunia tuwatendee haki watanzania walio wengi masikini vx na majumba ya kifahani ni vya mpito ndugu zangu badilikeni tujifunze aliyotenda mandela R.I.P RC wa tarime
  3. C

    Rais avunja rasmi tume ya Warioba

    suluhisho ni kuireject rasimu itayopitishwa ya ssm kwenye referendum
  4. C

    Lipumba akataa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa mojawapo wa kamati za Bunge

    kama ole sendeka kawa mwenyekiti, ssm wanashikilia kamati 12 ni wazi kura ya wazi na kuondolewa vipengele vyenye maslai ya taifa havikwepeki ila nasikitika kodi yangu toka kwenye tume mpaka bunge lakatiba linavyotutafuna na deficity money ila Mungu atawalaani wote kwa kutugeuza watanzania...
  5. C

    Kuelekea kustaafu Kikwete: I'll always remember...

    kwa kuchakachua na kuwatumikia magamba amejitahidi sana
  6. C

    naona katiba mpya inakaribia kukosekana itabadilika rangi badala red itakuea greee

    Nichukue fursa hii kueleza yangu moyoni, Watanzania kweli tulikuwa tunahitaji katiba bora na si bora katiba kilichopendekezwa kwa jaji warioba na wananchi ni maoni yatokanayo na deficiency ya katiba ya zamani kuendelea kuvuraga mapendekezo ni njia mojawapo ya kuchakachua maoni ya wananchi. hoja...
  7. C

    Wapinzani Waja juu hotuba ya JK: Mwananchi

    hivi kwa nini kila tume ipendekeze serikali 3, maoni ya hutuba ya mzee tuyaamini kuliko tuliyoyakusanya kwenye tume nasikitika sana nimepoteza muda wangu kutoa maoni yangu mbele ya tume nilishindwa hata kutekeleza majukumu yangu ya utumishi kweli wanasiasa hawaaminiki nilijua tu ukiona csm...
  8. C

    Tusiandike katiba mpya,tuifanyie marekebisho iliyopo

    mi nilijua tu hii katiba itachakachuliwa ila naumia sana pesa tulizopoteza kwa tume ya walioba kweli nimeamini hii nchi kamwe haiwezi kuletwa maendeleo na SSM naona hata kipengele cha ubunge mzee ametaka kisiwe na ukomo eti kama mtu ana miaka 25 plus 15 ya madarakani haimtoshi na pia wamekataa...
Back
Top Bottom