Recent content by chamgina

  1. C

    Tunafundisha masomo ya biashara

    Sasa huna shaka tena ya kuhangaika kupata walimu wa biashara kwanii Business professionals tution centre ndo mkombozi wa masomo yako ya biashara kama vile Banking, and finance, Business Mathematics (Quantitative method) Accounts , Marketing ,Economics ,Customer care ,Business...
  2. C

    Ofa! Ofa!!!! kabambe ya EFD machine (risiti)

    kampuni ya webtechnology ya kariakoo, wanakuletea ofa kabambe kwa wewe mfanyabiashara unayetaka kununua machine ya receipt EFD. Sasa ukitaka machine huna haja ya kulipa laki 8 yote unaweza kulipa kwa awamu kuanzia laki moja kwa mda unaotaka wewe...........kumbuka webtechnology tunakuletea...
  3. C

    Efd machine ( machine za kutolea reciept) tra

    Tunauza machine za EFD za kutolea risiti. Bei nafuu na pia zina ubora wa hali ya juu. bali pia unaweza kulipa kwa awamu kiasi chochote unachotaka kuanzia laki 200 kwenda juu kwa awamu. machine hizi ni machine ambazo utapewa warrantee ya miaka 3. na pia tunatoa matengenezo bure kwa yeyote...
  4. C

    tunauza machine za kutolea risiti EFD

    nitumie no yako ya simu au tuvchekiane kwa maelewano zaidi mkuu (bfexjan)
  5. C

    tunauza machine za kutolea risiti EFD

    Tunauza machine za kutolea risiti za EFD za TRA kwa bei poa kabisa na ubora wa hali ya juu, huna haja ya kuhaingaika tena, sasa tutakuletea machine ya tra popote ulipo tanzania pale unapohitaji kununua. na pia zaidi ya yote wafanyakazi wetu watawapa elimu ya kutosha jinsi kutumia machine...
  6. C

    Android tablet inauzwa bado mpya

    Android tablet yenye inchi saba inatumia android application, ina microsoft office installed, viber, watsapp, facebook na pia inatumia WIFI, pamoja na simcard. bado mpya imetumika kwa wiki mbili tu toka itoke dukani, ni rahisi kuibeba na ni nzuri pia kuangalia movies kwa maelezo zaidi piga...
  7. C

    MAWAKALA WA KUUZA MACHINE ZA TRA DAR-ES-SALAAM WANAHITAJIKA haraka

    tunatafuta mawakala wa kuuza machine za EFD ZA TRA kwa Dar-Es-salaam, yeyote mwenye biashara na angependa kuuza machine zetu za tra basi atuambie sisi tutakuja hadi alipo na kumletea machine hizi za tra.....no yangu ni 0717178455 kila machine utayotuuzia tutakupa commission nzuri sana ambayo...
  8. C

    wauzaji wanahitajika haraka sana (freelancer)

    yah itakwua kutembeza kaka unauza kwenye field kaka yaani nje sio ofisin
  9. C

    wauzaji wanahitajika haraka sana (freelancer)

    wauzaji wazuri wanahitajika waliomaliza form six au diploma wanahitajika kuuza machine za EFD za TRA ka unajua unaweza kuuza hizi machine basi tupigie simu chap chap 0717178455 tuweze kukupa kazi, utalipwa in term of commission bali pia na nauli , pale utapoonekana unaperform vizuri mauzo...
  10. C

    Lcd led plasma tv repair services

    Oya chipukizi nahitaji no yako ya simu mimi natv yangu mbovu nahitaji hata kesho kutengeneza hii
  11. C

    habari njema kwa wasio na kazi na walio na kazi

    natafuta wafanyakazi wazoefu ambao wako tayari kujitolea kuuza machine za EFD yaani mashine za tra za kutolea risiti kwa wafanyabiashara mbali mbali .....sifa za wauzaji au sales office hawa wawe na uzoefu wa kuuza kabla au wawe wameajiliwa na kampuni nyingine....ka wewe umeajiliwa toka kampuni...
Back
Top Bottom