Samahani kwa anayejua kuhusu mwenendo wa dirisha la usajili kwenye vyuo vinavyotoa ordinary diploma in electrical engineering, naomba kujua kama bado nina muda wa kutuma maombi au muda umeshaisha saivi.
Veta huwa kuna masomo ya ziada tofauti na fani unayosomea sasa miongoni mwahayo masomo moja wapo huwa ni engineering science ambayo husimama kama phys o level
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.