Recent content by Challes Joseph

  1. C

    JamiiForums Tanzania Dirisha la usajili kwenye vyuo vinavyo toa ordinary diploma in electrical engineering lipo wazi?

    Samahani kwa anayejua kuhusu mwenendo wa dirisha la usajili kwenye vyuo vinavyotoa ordinary diploma in electrical engineering, naomba kujua kama bado nina muda wa kutuma maombi au muda umeshaisha saivi.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Je, naweza kujiunga na Diploma ya Electrical Engineering?

    Asa Nashukuru kwa maelekezo yako sasa napenda kuuliza nichuo gani kinapokea kwa kizingatia vigezo nilivyo navyo mimi
  3. C

    JamiiForums Tanzania Je, naweza kujiunga na Diploma ya Electrical Engineering?

    Veta huwa kuna masomo ya ziada tofauti na fani unayosomea sasa miongoni mwahayo masomo moja wapo huwa ni engineering science ambayo husimama kama phys o level
  4. C

    JamiiForums Tanzania Je, naweza kujiunga na Diploma ya Electrical Engineering?

    Sawa nashukuru kwa majibu yaka kiongozi lakini mimi nahisi kama nimepoteza sifa za kuendelea mana sikufanikiwa kusoma fizikia shule ya upili
  5. C

    JamiiForums Tanzania Je, naweza kujiunga na Diploma ya Electrical Engineering?

    Mimi nimehitimu mafunzo ya ufundi umeme level 3 nilikuwa naukiza kama naweza kujiunga na mafunzo ya electrical engineering ngazi ya diploma
Back
Top Bottom