Recent content by ChaliiBlog

  1. C

    JamiiForums Tanzania Nilisimamishwa mara 3 ndani ya mwezi mmoja, ndipo nikagundua tatizo hili

    Hahaha, ningeweza kufanya hivyo ingekuwa poa sana
  2. C

    JamiiForums Tanzania Nilisimamishwa mara 3 ndani ya mwezi mmoja, ndipo nikagundua tatizo hili

    Mwezi uliopita nimejikuta nikalipa fine nyingi sana za gari. Mara ya kwanza nilisimamishwa na kukutwa nina deni la parking. Nikasema sawa, labda ni uzembe wangu. Wiki iliyofuata nikasimamishwa tena. Kwa Kosa la kuto kulipia fine ya wiki iliyopita. Wiki iliyofuata tena nikasimamishwa mda huu...
Back
Top Bottom