Mungu yupo wanafikiri hawajaonekana waliyoyafanya, kuwapiga kuwadhalilisha na kuwaonea viongozi wa kitaifa, hao askari magereza wanastahili kifungo kwani ni wanyama kabisa.
Ninyi lumumba mnaotumwa hamuwezi chochote, mambo hayawahusu mnajaribu kuingilia ili kuchafua mtachafuka ninyi tuu hata mfanyaje hamuwezi kuyumbisha kitu, chadema is stronger than ever.
Wewe 'Sumti' ndiye nguruweee mkubwa wewe ndiye utaozea jela wewe mshabiki mkubwa wa uonevu mkubwa wanaotendewa viongozi wa upinzani kinyume kabisa na katiba
Wewe ndiye huyo nguruwee mkubwa
Wewe ndiye nguruweee mkubwa wewe ndiye utaozea jela wewe mshabiki mkubwa wa uonevu mkubwa wanaotendewa viongozi wa upinzani kunyume kabisa na katiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.