Matron tuliza nyongo subiri batron aongee saa tano ndipo utajua wapi upele unakuwasha ujikune ha ha ha ha haaa sindano ya ganzi inaingia eee, Chadema kama kawa kama dawaaaaaaaaa
Matron wa wana lumumba umeamka, umemaliza kuwachambisha buku saba wenzio, subiri saa tano ifike kishipa kisimame vizuri pale jemedari atakapoanza kuongea, Chadema vyemaaaaaaaaaaaaaa
Again the way you write unaonyesha jinsi akili yako ina upeo wa darasa la pili B, matusi ya nn kamanda, hapo badoo mjeshi wa Anga hajaanza kuongea tuliza mshono wa jipu subiri saa tano ifike wewee
Lumumba mnatokwa na povu kisa mmeskia mwenye hekma zake na busara anataka kuzungumza na taifa juu ya uchafu wa mafisiem kwa umeya, subirini aongee muone nchi ikitikisika, kaendeleeni kunywa chai na mlenda ili mje mpayuke vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.