kama nilivyo eleza hapo awali mchango wenu ni muhimu! kinacho hitajika ni ushauri tu kama kuna uwezekano wakuaply ualimu zen uka aply kozi za afya! santeni
Habari zenu wakuu wa jf natumaini muwazima wa afya,,, Ombi langu kwenu ni kwa anayefahamu mawasiliano ya shule ya secondary ya Tegeta iliyopo dar es salaam na ile ya Ocean iliyopo mtwara au kama kunaanaye fahamu ada za hizo shule naomba anijuze,,, Ahsanteni
Habari za kwenu wadau!
Naomba kuuliza kama NACTE wameshatoa majina ya walioomba mafunzo ya ualimu awamu ya pili,," maana nacte baada ya kuongeza muda wa kutuma maombi walisema watayatoa mwanzoni mwa mwezi wa tatu lakini mpaka sasa kimya.
Kwa anayefahamu atujuze tafadhali
Ahsanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.