Habarini wana jamii.
Katika kada ya Elimu hususani vyuoni Kuna umuhimu mkubwa wa wanafunzi wa vyuo vya Kati kuwekwa katika bajeti ya kupata mkopo.
Jumla ya wanafunzi katika vyuo vya kati au vyuo vya ufundi hujitegemea kwa kiwango kikubwa katika kujihudumia kuanzia malazi, makazi hata malipo ya...
Ndiyo sapoti kubwa inahitajika kutoka kwa serikali tuanze kuona matendo zaidi ya mikakati waliyopanga huku wakihusisha wale waliopona Kama chachu ya kutambua chanzo halisi Cha usambazaji wa hayo madawa kwa kasi.
Ndiyo nakubaliana na wewe maana hawa wanaoziingiza wanaweza wakafanikiwa kuwakamata na kufungwa lakizi njia zao za usafirishaji na upitishaji zikawa Bado zipo wazi na hapo tatizo bado likawepo. Hvyoo ni lazima serikali itafute chanzo au Chanel yao kwanza.
Shukrani.
Kura yako tafadhali..
UTANGULIZI; Kama tufahamuvyo uraibu wa madawa ya kulevya unavyozidi kushika kasi na kuongezeka kwa kiwango kikubwa nchini kwetu. Hii inatokea hususani kwa vijana wengi miongoni mwao ni watoto walio chini ya miaka 18 katika maeno mbali mbali nchini.
Makundi mengi Kati yao yamekuwa yakijihusisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.