kaka msadie maana nimeahindwa nifanyaje. kuna afya uhamiaji ninazo namba zake lakini nikituma sms anajibu kwa kifupi hafunguki sasa sijui shida nini. hizi agency nazo zinazodeal na haya mambo pia hata sms hawajbu sasa sijui wanaona watakurahisishia sana badala ukawape pesa wao wakfanyie sielewi
kaka mimi 70% ya scholarships, sponsorship hata kuapply vyuo vya kwaida nchini za njee wanahitaji passport naweza nikakutumia mfano nili screen shoot kabisa maana nilitaka niende moja kwa moja office zao nione napata maelekezo gani kuhusu hii swali na hichi kikwazo wanafunzi wengini...
Habar. Nina swali kuhusu passport ya kisafiria.
Niko katika harakati za kuomba scholarships tofauti tofatu. Lakini nimekutana na changamoto ya Kujaza namba ya passport na nakala yake na ni lazima kabla hujasubmiti ombi.
Nikaona ni vyema nirudi katika utafutaji wa passport. nimeingia katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.