umeongea mambo ya maana na muhimu kwa watu wa kusini . Lakini angalia wajinga wanavyokujibu kama hawana akili. Wengi wetu huku ni wajinga tusiojielewa au tunafanya makusudi. Mikoa hii ni kweli imesahauliwa kwa makusudi kabisa . Tukifumbuliwa macho tunatukana ka machizi endelea kutufumbua macho
Jamani hivi bado mnafikiri tupo kwenye ile miaka ya zidumu fikra sahihi za mwenyekiti? No tushatoka huko tuko kwenye ukweli na uwazi sasa . Kila baya litasemwa Nyerere ndo chanzo cha matatizo ya nchi hii kuanzia viongozi aliyowaweka na sera zake. Kama kweli angekuwa kiongozi mzuri watu...
Hivi watanzania tukinyunyuziwa dawa, maleria ikatokomezwa mmnataka hizi dawa tukamuuzie nani? Hakuna mtu serikalini atakae fanya hili jambo ni hasara tutawafukuza wawekezaji jamani. Mkifa sie ndio tunapata kula .
Nna uhakika wengi wenu mna chuki na wachaga. Hakuna sehemu mtoa mada alipotaja mchaga akiwa na maana Kilimanjaro na Arusha inakaliwa na kila kabila. Sasa badala ya kumjibu adui wa mikoa ya Pwani mnaanza kumshambulie yeye kama mbaguzi jibuni hoja sio vihoja Ccm ndio chanzo cha matatizo ya watu wa...
Hata wakijenga kwa akili zetu mbovu wataleta wataalamu wao na wafanyakazu wao hadi wa kufagia. Wakitukabidhi sisi tutaviua . Kwame hatutafaidika navyo . Kodi tutawasamehe miaka mitano waleee kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.