Recent content by Cashmere

  1. C

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wengi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wanailetea picha mbovu Tanzania kwa kusoka weledi wa kazi

    Naelewa lakin uwepo na kasoro Egypt ama nchi nyingine isiwe sababu ya kufumbia macho yanayojiri nchini kwetu. Na mara nyingi kinachoturudisha nyuma watanzania ni mentality ya mazoea kuwa “mbona nchi flani wanafanya” then tunaridhika, kitu ambacho si sawa, we need the best services.
  2. C

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wengi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wanailetea picha mbovu Tanzania kwa kusoka weledi wa kazi

    Waajiriwa wengi wa JNIA Airport wanakosa professionalism. Kuna taabia ya wafanyakazi wa Airport kuomba pesa kutoka kwa wasafiri ambayo siyo nzuri na haileti picha nzuri kwa wageni. Kijana (muajiriwa) anaweza kukuonesha mahali huduma za kijamii kama choo au taxi zilipo (ambalo ni jukumu lake) na...
Back
Top Bottom