Mkuu nashukuru sana sana.
Coment yako imenifanya nitamani kama maisha yangekuwa na button ya "UNDO"
Natamami nirudi nyuma kusahihisha pale nilipokosea, lakini hamna namna. Nitazingatia ushauri wako.
Ndugu zangu wana jf, mnayonishauri yote nayaandika, na ninathamini mchango wa kila mmoja wenu. Ninawashukuru wote kwa muda wenu na busara zenu juu ya hili jambo langu.
Ninatamani kupata neno zito zaidi ya asante la kuwakilisha shukran zangu kwenu kwa jinsi mlivyochangia.
Michango yenu tu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.