Recent content by Captain kanyau

  1. C

    Anayefahamu maudhui ya tamthilia ya saloon ya mama Kimbo kwa kizazi kijacho anijuze

    Mm niliwahi kuwaambia watu hii sera ya ushoga inapitishwa taratibu mpk baadae itakua ni jambo la kawaida. Fikiria kwenue hiyo tamthilia kuna jamaa mmoja anashinda saluni ya wanawake yy anaongea kama mwanamke na matendo yake pia. Pata picha mwanao ndo anaangalia na kumuona yy atajua mwanaume kua...
  2. C

    SoC02 Udhaifu wa Bunge letu unatupa hasira Wananchi

    Bunge letu bado ni dhaifu katika maamuzi Leo naomba nizungumzie bunge hasa nikizungumzia kazi zinazohusu bunge na wajibu wa muhimili huu mkuu wa nchi katika ile mihimili mitatu mikuu nchini. Katika nchi zenye demokrasia kama zetu bunge ndio chombo kinachofanya maamuzi ya mwisho yote hiyo ni kwa...
Back
Top Bottom