KWAMUJIBU WA UDSM PROSPECTUS
Assessment of the student's progress shall be based on the following grading system:
A : 70 - 100 C : 40 - 49
B+ : 60 - 69 D : 35 - 39
B : 50 - 59 E : 0 - 34
GPA
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
The above range of marks being a result of rounding of all decimals of the marks...
Habarii wana jamvi..Leo nimeona tujalibu kufunguana mawazo juu ya dalaja C vyuo vikuu Tz. Hili suala tunaliona dogo lakini linamghalimu mtu mmoja mjoja huko mtaani, Wakati tukipitapita na bahasha zetu huko maofisini hatutakuwa tukiulizwa kuwa umesoma chuo gani, shida itafika wakati wa kuangalia...
imekaaje hii neema wadau wa sua- kwanzia walio mwaka wa kwanza hadi walio mwaka wa nne wanaochukua irrigation and water resources engineering kwa mwaka wa masomo 2013/2014heslb imewalipia ada 100%.
C kweli coz katika shule yangu ya kijiji nilchotoka mimi Pekeyangu nipo SUA, 5-UDSM na 3 UDOM, cjajua hapo wapi kumecontain wakijini wengi labda unisaidie hilo, au mshaawapa umjini na hao ndugu zangu.....?
Design kama umepanic mzazi!!!!!, jinsi dishi lako linavyosoma unaona kuna kozi ya Mzumbe inayoweza ikawa na uzito kama ya sua? may be BAF inaweza ikalingana na Rural ya SUA, no research no right to speak.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.