Habarin za asubuh, mimi ni mmoja kati ya walio ktk janga la wanafunzi walio kosa mkopo mwaka huu, jana alhamis nimeona taarifa kwenye blog 1 iv et serikali kwakuwa imeona watu wengi wamekosa mkopo hivyo kutoa tena nafas mpya tena kuapply mikopo kwa wote wale wote walio koxa, serikal itaingia...
Hakuna cha jkt wala kgt apa, alieitoa hii idea ya jkt yupowrong na niupotezaj wa fedha tu hakuna lolote zaid ya wiz tu. Napenda niwaambie, nimekaa nawashkaj kibao waliotoka huko jkt na niwakawaida xana nawako chuo xaiv na niwaoga vlevle, no uzalendo nawakinizingua nawagonga......nihv...
mi naona, ifikie hatua watu wa diploma watumbie tu ukweli kwamba haturusiw kupewa mikopo ili tuwe tunatambua mapema kuliko kutoa ruhusa tutume maombi ambayo yanakusanya mamillion ya mapesa then hata 0% hupata for me, huu ni wiz uliowaz & npo pa1 kuwaunga wenzangu kwenye maandamano Solidarty...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.