Mkuu hii ni sanaa kama ilivyo mpira, mziki nk huwa elimu sio kipaumbele kwenye kazi za video shooting na director ila nina elimu ya kidato cha nne mimi ni kijana wa kawaida tu miaka 24
asante sana mkuu sijaweka samples hapa kwasababu nazani kupost picha za watu hadharani kama hivi sio jambo zuri unaweza kunicheki WhatsApp kwa namba yangu hiyo
Wadau nilikuwa naomba kazi nina kipaji cha upigaji picha na kushoot video lakini pia ninajua graphic designer
Lakini pia nanvyo vifaa vyangu mwenyewe tayari kwa kazi Nina camera, na vifaa vyengine vya kupiga picha na kushoot video na pia nina vifaa vya kuedit picha na video pamoja na graphic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.