This is awesome argument.. Watu wengi wanaoreply hapa wanakandamiza watanzania kwavile labda wao hawakuweka hela.. Hata mimi skuweka hela ila kuna watu wangu wa karibu sana waliweka hela. Ishu hii ni yakitaifa, na madhara yake yanaonekana wazi kabisa, moja ya kazi za serikali ni kulinda...
Inasikitisha sana kuwa serikali yetu iko kimya sana kuhusu hii ishu.
Nini kifanyike ili wananchi wa Tanzania wasikumbane na madhila ya namna kama hii?
Elimu itolewe kuhusu utapeli wa mitandaoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.