1.SIMPLE WEBSITE
Hii simple website hatutengenezi kwa gharama kubwa kwasababu inamuonekano mzuri lakini haina vitu vingi ndani yake.
Itakuwa hivi ikishakamilika,
-Domain name yako.. mfano- www.yasin.com
-Hosting.. Tutaitangaza website yako na watembeleaji wataweza kuisearch kupitia google...
Habari wakuu.. Kwa wale wanaohitaji kuwa na blogs, website au mobile app, tunafanya huduma hizo za kutengeneza kwa bei nafuu kabisa na kwa muda mfupi tu kazi yako inakamilika pia tunaweka matangazo kwenye mobile app ambayo yatakusaidia kukupa kipato cha ziada mtu atakapoyasoma na huduma hiyo ni...
Ni kweli kaka ila mimi nilikuwa nakaa hostel zilizopo mori na bei zilkuwa juu ya 70 halafu sababu za wanafunzi wengi kukimbia niliziona baadhi ndio maana nimeamua kufanyia tu hukohuko sinza ila nitafuatilia zaidi kutokana na ushauri wako kaka, asante.
Asante sana ndugu.. Hostel nimeplan iwe sinza kama nitafanikiwa maana hostel nyingi za huku hazikidhi vigezo na husababisha wanafunzi wengi kuzikimbia hivyo kuna uhitaji mkubwa wa hostel, gharama ya chumba kimoja ni elfu sabini kwa mwezi na italipwa kwa awamu tatu yaani laki mbili na themanini...
Asanteni sana kwa ushirikiano.. sina kiwanja ila gharama ya chumba kimoja ni Tsh.70,000 kwa mwezi then watalipia kwa miezi minne (awamu 3 kwa mwaka) that means ni sawa na Tsh.280,000 na kila chumba kimoja watakaa watu wanne. Ukiangalia hesabu ya mwaka mmoja kwa vyumba arobaini vya mdhamini...
Nimewaza sana kutafuta ufadhili wa kampuni yoyote ili inijengee hostels za kisasa zenye vyumba hamsini lakini nimeona ni vyema nilete wazo langu hapa na baada ya hapo ndo nichukue maamuzi, malipo ya deni la kampuni tutakatana ndani ya miaka kadhaa hadi pesa yao imalizike na haitaniumiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.