Ndugu zangu eid mubarak
Bwana bwana basi muvumilie japo kidogo mmalize 6. Yan jana tu mfungo mmemaliza mshaanza kusumbua kama nini Eid mkaisherehekee gest? Tangu jana ni mtu wa 4 tena wote walikuwa wamefunga wananialika Eid tukailie chimbo.
Me kwakweli nimekataa sitaki laana ndogondogo. Yani...
Nawasikitikia wale watu wa suomi kule Helisink kwa kupoteza euro za wananchi wao kukusomesha.
Unatamkaje kauli kama hiyo kwenye chombo cha habari cha taifa
Nimewaza hivi pia...
Ila nilichogundua uraisi ni taasisi.... Kwamba inawezekana raisi haamui yeye kama yeye Ila maamuzi ya watu flani wanaomzunguka.
Sitaki kuamini niliyoshuhudia kwa Mara ya kwanza tangu nizaliwe kwamba yameidhinishwa na mwanamke ambaye kila mwezi anapokea mshahara kama Mimi...
Na wewe ukiongelea waislamu utawaongelea hao waganga njaa? Waislamu wanaojitambua na wa kuaminika wapo. Ndio maana hawa wahuni wanaodai kuchinja watu wakitishiwa tu na GENZ wanatubu fasta.
Tusikubali kugawanywa kwa itikadi za kidini kwa maana hiyo haipo. Waislamu na wakristo tumekuwa tukiishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.