Recent content by cacutee

  1. cacutee

    Hii sio sawa yani jana tu mmemaliza

    Acha kabisa
  2. cacutee

    Hii sio sawa yani jana tu mmemaliza

    🤣🤣🤣
  3. cacutee

    Hii sio sawa yani jana tu mmemaliza

    Ndugu zangu eid mubarak Bwana bwana basi muvumilie japo kidogo mmalize 6. Yan jana tu mfungo mmemaliza mshaanza kusumbua kama nini Eid mkaisherehekee gest? Tangu jana ni mtu wa 4 tena wote walikuwa wamefunga wananialika Eid tukailie chimbo. Me kwakweli nimekataa sitaki laana ndogondogo. Yani...
  4. cacutee

    JamiiForums Usiku wa manane

    Af ww bwana Bora ningewanga huenda Mambo yangekuwa powa ila dah
  5. cacutee

    Uzi Maalum kwa ajili ya kupeana Salamu na Heri za Christmas na Mwaka Mpya 2026

    Asante dear Intelligent businessman Marry xmass and happy new year 2026
  6. cacutee

    PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC: Niko tayari kuomba silaha kulinda Taifa langu dhidi ya tishio lolote la usalama na amani ya Tanzania

    Nawasikitikia wale watu wa suomi kule Helisink kwa kupoteza euro za wananchi wao kukusomesha. Unatamkaje kauli kama hiyo kwenye chombo cha habari cha taifa
  7. cacutee

    PostGE2025 Kuna kundi ndani ya Serikali linamuharibia Samia ili achukiwe na wananchi

    Yani alifaulu kuficha hiyo unayosema ni tabia yake ya asili bila watu kumstukia mapema Hadi pale alipoyapata madaraka
  8. cacutee

    PostGE2025 Kuna kundi ndani ya Serikali linamuharibia Samia ili achukiwe na wananchi

    Nimewaza hivi pia... Ila nilichogundua uraisi ni taasisi.... Kwamba inawezekana raisi haamui yeye kama yeye Ila maamuzi ya watu flani wanaomzunguka. Sitaki kuamini niliyoshuhudia kwa Mara ya kwanza tangu nizaliwe kwamba yameidhinishwa na mwanamke ambaye kila mwezi anapokea mshahara kama Mimi...
  9. cacutee

    PostGE2025 Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu: Kitima, huu muziki wa Waislamu huuwezi, DAMU ITAMWAGIKA! Tunayo mengi ila tumekaa kimya kuhusu Wakristo

    Na wewe ukiongelea waislamu utawaongelea hao waganga njaa? Waislamu wanaojitambua na wa kuaminika wapo. Ndio maana hawa wahuni wanaodai kuchinja watu wakitishiwa tu na GENZ wanatubu fasta. Tusikubali kugawanywa kwa itikadi za kidini kwa maana hiyo haipo. Waislamu na wakristo tumekuwa tukiishi...
Back
Top Bottom