Sema nyie hamkuelewa point ya msingi.
Hoja ilikuwa kuonesha kwamba hawa watu tunaowaonea huruma wakati mwingine hawastahili huruma. Huenda wana kikubwa kuliko Sisi tunaowahurumia. Sema sasa vile wa Tanzania wanawaza Sana ngono wakakimbilia kwenye ishu za kupeana wakaacha hoja za msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.