Uwanja ni mkubwa..plan ilikuwa kujenga nyumba tatu za design moja kwenye hilo eneo...hiyo ni ya kwanza.. si nyumba ndogo ina vyumba viwili..kimoja master..sebule...jiko...choo na bafu na store...nadhani umeelewa
Wadau,
Nyumba inauzwa Kibaha Visiga ina hati imefunga mpaka lenta, kiwanja kikubwa unaweza jenga nyumba nyingine kubwa na uwanja ukabaki eneo ni 588sm bei ni shilingi 20 milion, bara bara mpaka kiwanjani, umeme na maji vimefika, haina udalali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.