Habari wadau wa JF mimi ni kijana wa kiume wa miaka 30,natafuta mchumba ambaye atakuwa mama watoto wangu,kiwango changu cha elimu ni Degree.
Mchumba/Mwanamke ninae muhitaji awe na sifa zifuatavyo;
1.Mnene wa wastani
2.Awe Muislam
3.Kiwango cha elimu awe na Degree
4.Umri kuanzia miaka 24...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.