Recent content by bwiganeu

  1. B

    Report ya CAG ni Bora isisomwe maana makosa ni yaleyale

    Katiba na sheria ya tanzania kuwa kipofu juu ya report ya CAG kwa kushindwa kuwaajibisha watendaji wote waliotajwa kwenye report. Kwahiyo Hakuna haja ya kusoma au kuichambua maana makosa yanayojirudia na hakuna wa kuwajibishwa.
  2. B

    SoC02 Masomo ya ziada na ubora wa elimu

    Story hii inahusu changamoto ya elimu Tanzania(ubora na masomo ya ziada).Nimeambatanisha Nakala ya somo husika - MASOMO YA ZIADA NA UBORA WA ELIMU Katika maisha yangu ya elimu suala la masomo ya ziada ni sehemu ya asilimia 10 tu ya mafanikio yangu ya elimu. Kwani niliwahi kusoma masomo ya...
Back
Top Bottom