Wambie ukweli hawa biashara sio kuinvest mtaji mkubwa bali ni kuinvest wazo zuri litakalouzika kirahisi. Unaweza pewa hiyo millioni 200 ukaingia kariakoo ukaishia kuweka yote tumboni.
Mfanyabiashara yupoje, sifa ya mfanya biashara mzuri ni yule anayeanza kwa mtaji kidogo. Kuanzisha biashara nzuri huanza na wazo zuri la biashara na sio pesa nyingi ya mtaji. Simama kwenye wazo achana na mambo ya mtaji mkubwa.
Kwenye biashara huwa hatuigani kila mtu anawazo lake. wazo lingine linaweza kutumia mtaji mkubwa lakini likakuletea faida kidogo na wazo lingine litatumia mtaji kidogo tu na kukuletea faida kubwa.
Upo wakati ambao unaweza kuwa na mawazo mengi mazuri ya biashara mpaka ukasahau kutafuta ajira za kuajiriwa. Wakati mwingine unakua unawaza sasa kama nikitafuta ajira ni nani atakayeweza kutekeleza haya mawazo yangu.
Naomba nianzie hapa kabla yakwenda kwenye utangulizi; Kama ningepata bahati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.