Ila Hollywood bana
Walituaminisha hii meli inaweza kupiga misheni miaka kumi huko kwa bahari
Hata mwaka haujatimia wanaanza kulialia
T14 Armata naomba sifa tano kuu za hizi ngarawa
Maana zimekua wazi kama utupu wa mbuzi 🤣🤣🤣
Sawa hio atajijua mwenyewe ila nilikua naomba kuuliza lino ataifungua hormuz
Kuna meli mbili huko zishachapwa mida sio mingi
Ila Hollywood walitukosea sana umbwa wale
Marekani haina tofauti na Burundi yaaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.