Recent content by Bwana Utam

  1. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Na jana nyengine mbili zimerambishwa mchanga mapema sana yaaani Huyo anafatilia habari za kimataifa ile zile za udaku
  2. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Israel ilivyomuokoa Trump mikononi mwa mahasimu wao wa Iran ambapo Trump alikuwa auwawe

    Hata hormuz kua wazi alitangaza pia ila kupitisha vingarawa vyake anaogopa anawatoa wenzake kafara
  3. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa US kwenye manowari ya USS Lincoln watoa mlia

    Ila Hollywood bana Walituaminisha hii meli inaweza kupiga misheni miaka kumi huko kwa bahari Hata mwaka haujatimia wanaanza kulialia T14 Armata naomba sifa tano kuu za hizi ngarawa Maana zimekua wazi kama utupu wa mbuzi 🤣🤣🤣
  4. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Trump apandisha ushuru wa drones kutoka nje ya Marekani hadi 100%

    Ila sio vya drones
  5. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Wazayuni wa jf huna lakuwaambia yaaani
  6. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Akili kubwa wangeenda kufungua kwanza hormuz
  7. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Wewe unaejua ungeenda kuwasaidia wamarekani wenzako kwanza kufungua hormuz
  8. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Anawindwa na nani kitimoto yule
  9. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    🤣🤣🤣 Koment kama kuku kakatwa kichwa Tuipe muda gani itakua tayari ishasambaratika ewe yahudi wa mchongoma!!!
  10. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Ila hawajakuzidi wewe na safari hii wazayuni wa jf mutajamba sanaaaaaaa
  11. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Anaumia na nini?
  12. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Trump apandisha ushuru wa drones kutoka nje ya Marekani hadi 100%

    Kama hormuz kaishindwa kwa iran ambae ana vikwazo miaka 50 sasa kwa china hana atakalo pata anahangaika hangaika tuuu
  13. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Trump apandisha ushuru wa drones kutoka nje ya Marekani hadi 100%

    Kwasasa hormuz ndio main topic dunia nzima Super glue anatapa tapa kama kameza tongue la moto
  14. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Israel ilivyomuokoa Trump mikononi mwa mahasimu wao wa Iran ambapo Trump alikuwa auwawe

    Safari hii wazayuni wa jf yaani ni mutajamba sanaaaaaaa
  15. Bwana Utam

    JamiiForums Tanzania Trump apiga ban wanaokwenda kujifungulia Marekani ili kupata uraia

    Sawa hio atajijua mwenyewe ila nilikua naomba kuuliza lino ataifungua hormuz Kuna meli mbili huko zishachapwa mida sio mingi Ila Hollywood walitukosea sana umbwa wale Marekani haina tofauti na Burundi yaaani
Back
Top Bottom