Recent content by Bwana Utam

  1. Bwana Utam

    Mfano vita ikasitishwa leo. Kipi kitatokea;Irani atakuwa kaonyesha uwezo wake wa kujihami lakini atakuwa amepoteza uwekezaji wake wote wa miaka 40+

    Kwanza PUT IN kafa au anaendeleaje hapo MOSCOW hamna mchafuzi hapa IRAN ilipigana zaidi ya miaka sita au saba na IRAQ ila baada ya hapo ikajengwa na kuimarishwa na kua bora kuliko iliokua kabla ya vita na IRAQ pamoja na hao mashoga zake marekani na wamagharibi wengine Ili iran isiwe kama...
  2. Bwana Utam

    US MILITARY OFFICIAL: Meli ya USS Gerald R. Ford ilipata changamoto ya kuwaka moto wakati wa doria

    Hao 🇨🇳 na Russia 🇷🇺 ni wakubwa sana mbele ya americant
  3. Bwana Utam

    US MILITARY OFFICIAL: Meli ya USS Gerald R. Ford ilipata changamoto ya kuwaka moto wakati wa doria

    Aaah umetumia ya shemegi msalimie Marekani anapigwa analeta sound anasema manuari imeungua yenyewe Ndege zake zinaanguka zenyewe ama kweli
  4. Bwana Utam

    Tetesi za kuuliwa Netanyahu zazidi kushika kasi

    Uliongea nae mara ya mwisho alikwambiaje
  5. Bwana Utam

    Kumbe ndege ya US ilitunguliwa na Iran proxy

    Waache wadanganye tu ila maadam wamekufa basi habari njema
  6. Bwana Utam

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii propaganda sio kweli ipuuzwe iran gani iloishambulia tel avivu wakati DT kasema iran kwisha habari yao Hatutaki picha AI hapa
  7. Bwana Utam

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Sasa kwanini asianze na kuiteka moja tu ambayo ni iran
  8. Bwana Utam

    Mkuu wa Pentagon, Pete Hegseth, azungumza na vyombo vya habari na kutoa taarifa ya hali ya vita dhidi ya Iran

    Bila ya nyuklia americant hashindi hii vita Maana chemical weapons iran washazizoea
  9. Bwana Utam

    US MILITARY OFFICIAL: Meli ya USS Gerald R. Ford ilipata changamoto ya kuwaka moto wakati wa doria

    Tulikua tunamwambia sana T14 Armata kwamba hayo makweche kweche kwenye nchi yenye uwezo wa kijeshi ni kama ngarawa tuuu
  10. Bwana Utam

    US MILITARY OFFICIAL: Meli ya USS Gerald R. Ford ilipata changamoto ya kuwaka moto wakati wa doria

    Nipo kaka majukumu tu ya hapa na pale Naona umekuja na Jina jipya kabisa Marekani bila ya nyuklia hii vita hashindi
  11. Bwana Utam

    Mkuu wa Pentagon, Pete Hegseth, azungumza na vyombo vya habari na kutoa taarifa ya hali ya vita dhidi ya Iran

    Americant kwa taarabu hawajambo Haya sindikizeni meli za mafuta pale hormus
  12. Bwana Utam

    US MILITARY OFFICIAL: Meli ya USS Gerald R. Ford ilipata changamoto ya kuwaka moto wakati wa doria

    Ahsante mkuu nimekaribia za masiki bana Mazwazwa hawazinduki hawa ila mara hii tutawazibua kinguvu
Back
Top Bottom